Mwamba028 JF-Expert Member Joined Nov 15, 2013 Posts 4,649 Reaction score 3,817 Mar 29, 2018 #1 Kuna chumba kinapangishwa na kipo Makongo juu. Chumba ni kikubwa, ni self na kipo ndani ya fensi ambayo ina vyumba vingne vitatu Karibuni
Kuna chumba kinapangishwa na kipo Makongo juu. Chumba ni kikubwa, ni self na kipo ndani ya fensi ambayo ina vyumba vingne vitatu Karibuni
U Upiversity JF-Expert Member Joined Jun 19, 2015 Posts 3,487 Reaction score 2,634 Mar 29, 2018 #2 Picha & bei???
D Dundo_Boy JF-Expert Member Joined Dec 29, 2015 Posts 2,458 Reaction score 2,468 Mar 29, 2018 #4 wafanyabiashara wa tanzania walio wengi ni wajanja wajanja, hivi kwanini usiweke bei ukamilishe taarifa zako au unapenda kuulizwa ulizwa mara kwa mara?
wafanyabiashara wa tanzania walio wengi ni wajanja wajanja, hivi kwanini usiweke bei ukamilishe taarifa zako au unapenda kuulizwa ulizwa mara kwa mara?
Fang Content Manager JF Staff Joined Nov 5, 2008 Posts 506 Reaction score 326 Mar 29, 2018 #5 Mwamba028 said: Kuna chumba kinapangishwa na kipo Makongo juu. Chumba ni kikubwa, ni self na kipo ndani ya fensi ambayo ina vyumba vingne vitatu Karibuni Click to expand... Weka picha, mawasiliano pamoja na taarifa zote muhimu kuhusu biashara yako Bila kufanya hivyo uzi huu utafutwa
Mwamba028 said: Kuna chumba kinapangishwa na kipo Makongo juu. Chumba ni kikubwa, ni self na kipo ndani ya fensi ambayo ina vyumba vingne vitatu Karibuni Click to expand... Weka picha, mawasiliano pamoja na taarifa zote muhimu kuhusu biashara yako Bila kufanya hivyo uzi huu utafutwa
Chupayamaji JF-Expert Member Joined Sep 19, 2017 Posts 5,780 Reaction score 13,695 Mar 29, 2018 #6 Sasa hii Picha ya nn
Mwamba028 JF-Expert Member Joined Nov 15, 2013 Posts 4,649 Reaction score 3,817 Mar 29, 2018 Thread starter #7 Chupayamaji said: Sasa hii Picha ya nn Click to expand... wrong attachment,,sorry
Mwamba028 JF-Expert Member Joined Nov 15, 2013 Posts 4,649 Reaction score 3,817 Mar 29, 2018 Thread starter #8 picha zinanzngua wadau ila rum iko ndani ya fensi kodi ni 150k, nichek 0714437555