Majambazi walivamia benki wakawaambia watu wote tunaanza kuwaua kwa alfabeti za majina yenu A,B,C..........Z"
wakamuuliza meneja unaitwa nani?
Meneja; Zosefu Zabrahamu
Wakawauliza watumishi wengine:
1:naitwa Zedward Zamweli 2:Zanna Zaadamu 3:Zahussein Zamussa 4:Zaasha Zaabdala 5: Zumari yakuti
vp kama nawewe ungekuwepo benki siku hiyo?