Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,044
- 8,173
Nature aka kiroboto hawahitaji wasafi aka dayamondWakimpa Shows inaongeza nini?
Wakimnyima shows inapunguza nini?
Wasipompa Airtime ina athari gani kwake?
Ukishajiuliza haya maswali, unagundua Nature hawahitaji Wasafi kwa lolote.
Si kwamba nawa devalue, huo ndiyo ukweli mchungu.🤣🤣Mkuu unawadevalue wasanii wetu sasa🤔
HapanaSi kwamba nawa devalue, huo ndiyo ukweli mchungu.
Wewe huoni Diamond anavyojilazimisha kwenda kimataifa anabumbabumba Kiingereza lakini anagangamala hivyo hivyo tu?
Wewe unafikiri Watanzania wana uchumi wa ku book shows za $40,000 mpaka $75,000 bila kusuasua kwa uchumi wetu huu?
Anaongeza pesa ndiyo hiyo laki tano? Ambayo hata watoto wa Chuo hawakai nayo wiki mbili?Wakimpa show anaongeza pesa, wakimnyima show anapunguza pesa, wasipompa airtime ina athari kubwa, kama hujui nguvu ya airtime angalia coca cola mpaka Watoto wadogo wanaijuwa lakini ndio kwanza inawekeza nguvu kubwa kwenye matangazo na promotion.
Nature anawahitaji Wasafi kuliko Wasafi wanavyomuhitaji Nature, huu ndio ukweli mtupu.
Maliza maswali yako yote nikujibu kwa pamoja, maana nimeshakujibu sasa unaamisha magoli, Kwahiyo orodhesha maswali yako yote nikujibu kwa pamoja.Anaongeza pesa ndiyo hiyo laki tano? Ambayo hata watoto wa Chuo hawakai nayo wiki mbili?
Msanii kama Nature?
Ungekuwa wewe ni Nature ungekubali laki 5?
Wewe mwenyewe unasema tupende vya kwetu ila umemalizia Kiingereza.Hapana
Ila with time tutafika
Si ndo branding yenyewe
Tupende vya kwetu
Honor starts at home🙏
SawaMaliza maswali yako yote nikujibu kwa pamoja, maana nimeshakujibu sasa unaamisha magoli, Kwahiyo orodhesha maswali yako yote nikujibu kwa pamoja.
Laki tano ni mshahara mkubwa tu Tanzania.
Diamond akitaka milioni 100 kwa Show ya ndani ya Tanzania ni amejibrand, ila Juma Nature akikataa kupokea laki 5 (na kuomba alipwe labda milioni 10) inaonekana ujinga na sio tena kujibrand. Hatutaki tuwe na wasanii wengi type ya Diamond kimtonyo?Hapana
Ila with time tutafika
Si ndo branding yenyewe
Tupende vya kwetu
Honor starts at home🙏
😂😂😂😂😂Watu wasiojua Kiingereza uchumi wao unaishia Sirari.
Yani hata interviews za radio stations za Nairobi na Kampala zinaweza kuwapa shida.
Weee huoni hata Harmonize anajiongeza?
Mkuu, je, ni yeye Juma Nature ndio anaomba kuwepo tamashani au wasafi ndio wanamwomba awepo? Ikiwa yeye ndio anaombwa, ni wazi anakuwa ndiye mwenye nafasi ya kupanga bei, ni wazi kuwa umuhimu wake unakua umeonwa na hao waandaji wa tamasha.Ukweli ni kwamba, kizazi cha mashabiki wa Sir Nature kimeshavuka umri wa kwenda kwenye matamasha ya mziki ya viwanjani.
Kwa audience ya wasafi festival ya sasa ambao wengi ni vijana wa vyuo na under 25, jina la Juma nature ni historia, Juma hana mashabiki tena pale.
Sasa ni kizazi cha kina rayvanny na wenzake, japo wanaimba ujinga, ila ndo vitu vijana wa sasa wanataka kuvisikia. Hii imewatoa wakongwe wengi kwenye game. Akina jay mo, profesa, afande sele na kina juma.
Kutunza heshima, ni kustaafu muziki na kufanya shughuli nyingine kama anavyofanya solo thanks au Mr paul. Wamebaki na heshima yao kwa kuusoma mchezo mapema.
Juma ukitaka kuendelea kubaki valid kwa umri huu utapotea. Sasa watoto wanataka kukulipa 500k. Unaanza kulalamika wanakuvunjia heshima. Huna shabiki wako pale kwenye show ya wasafi afsa, hata iyo 500k ni kama sadaka maana hakuna shabiki atakayeenda tamashani kwa vile wewe upo jukwaani.
Andaeni show ya wakongwe, kwneye mazingira ya watu wazima, sisi wazee tutakuja kuwasupport kwa kutukumbusha enzi za ujana wetu
Binafsi naona haya matamasha ni sehemu tu ya wasanii kurudisha kwa jamii. Sio sehemu ya kutajirikia. Mfano tamasha kama wasafi festival, wanacharge kiingilii cha 10,000 kwa kichwa. Wakioata wahudhuruaji 10,000 ni mil 100.Mkuu, je, ni yeye Juma Nature ndio anaomba kuwepo tamashani au wasafi ndio wanamwomba awepo? Ikiwa yeye ndio anaombwa, ni wazi anakuwa ndiye mwenye nafasi ya kupanga bei, ni wazi kuwa umuhimu wake unakua umeonwa na hao waandaji wa tamasha.
Solo Thang na sio Solo Thanks.
Ndomana tamasha lina wadhamini Kama kumi na mbili, sasa hapo ukute wadhamini wameambiwa msanii atalipwa 5M akajalipwa hiyo 3MBinafsi naona haya matamasha ni sehemu tu ya wasanii kurudisha kwa jamii. Sio sehemu ya kutajirikia. Mfano tamasha kama wasafi festival, wanacharge kiingilii cha 10,000 kwa kichwa. Wakioata wahudhuruaji 10,000 ni mil 100.
Kuna wasanii 20 wanaoperform. Kila mmoja ukimpa hata 3M ni 60m iyo. Hapo umebaki na 40m. Iyo ipangie maandalizi, promotion, jukwaa na speakers, malazi na usafiri.
Hakuna kinachobaki. Mwisho wa siku mtaanza kuita watu wanjonyaji.
Umeambiwa nature ana wimbo gani hot unaostahili alipwe 10m..?.Nature aheshimiwe kwa maamuzi yake,kila msanii ana price tag yake ya kuperform jukwaani,Hata Mondi alikosana na Ruge kisa maslahi.
Kama matamasha yangetegemea viingilio bhasi mziki mnene ya E-fm isingewezekana kufanyika nchi nzima pasipo kuwatoza watu viingilioBinafsi naona haya matamasha ni sehemu tu ya wasanii kurudisha kwa jamii. Sio sehemu ya kutajirikia. Mfano tamasha kama wasafi festival, wanacharge kiingilii cha 10,000 kwa kichwa. Wakioata wahudhuruaji 10,000 ni mil 100.
Kuna wasanii 20 wanaoperform. Kila mmoja ukimpa hata 3M ni 60m iyo. Hapo umebaki na 40m. Iyo ipangie maandalizi, promotion, jukwaa na speakers, malazi na usafiri.
Hakuna kinachobaki. Mwisho wa siku mtaanza kuita watu wanjonyaji.
Nimeambiwa na nani? Wapi nimeambiwa hivyo?Umeambiwa nature ana wimbo gani hot unaostahili alipwe 10m..?.
Hata hiyo laki Tano ni kubwa