Ingia YouTube msikilize aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na aliyewahi kuwa Mbunge wa Misungwi Mh Charles Kitwangwa akiongelea hii kitu tozo, ameongea mambo ya msingi sana na kuitaka mamlaka husika ikachukue ushauri toka kwake kuhusiana na hii issue ya TOZO.