Habari wana JF? Ni mara ya pili hivi karibuni nilitoa tangazo la kuomba kazi hapa,Lakini ukiangalia changamoto tunayokutana nayo watafuta ajira jf ni majibu mabaya ya baadhi ya wachangiaji ili tuendelee kuwa hutuna ajira,mfano ,mara mwingine ulikotoka umeiba,una uhakika?,mwingine ulikuwa unafanya kazi kwa mjomba wako,hivi kwanini ngozi nyeusi hatupendani?Kuna mtu mwingine anataka kutoa msaada anashindwa kutokana na mesage hasi(-) ya baadhi ya wachangiaji.Naomba tubadilikeni ndugu,kama mungu amepanga kitu hamna wa kuzuia.Nawasilisha.