Changamkia Kiwanja hiki!

Shebi Gwara

Member
Joined
Mar 30, 2010
Posts
14
Reaction score
5

Habari za muda huu waungwana!Picha hiyo hapo juu ni moja kati ya picha zinazoonyesha
Kiwanja ambacho KINAUZWA maeneo ya Mbagala Chamazi, Kwa bei ya Tshs 10,000,000 lakini bei inapungua
KIMEPIMWA na kina JENGO hilo hapo linaloonekana, MAKABRASHA yote kuhusu hicho kiwanja yanapatikana yakihitajika
Piga namba hii kupata maelezo zaidi. 0713 423202
Ahsanteni.
 

Attachments

  • IMG00115-20120731-1148.jpg
    418.4 KB · Views: 63
Naomba unisaidie majibu kwanza kabla hatujaanza kutwanga simu:-
  1. Kiwanja kina ukubwa gani?
  2. Je, eneo lililopo halipo kwenye huu mpango wa Serikali wa kujenga mji mpya?
  3. Eneo ambalo kiwanja kipo ni eneo lililotengwa kwa matumizi gani??
  4. Wewe ni dalali au muuzaji?
Asante sana
 
Naunga mkono hoja zako Mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…