OHA
Member
- Aug 20, 2013
- 34
- 42
Barua yangu ya wazi kwa Mh Freeman Akaeli Mbowe.
Mheshimiwa shaloom! Nilifurahi sana pale nilipo kuwa club house Rose mayemba akasoma ujumbe wakuwa upo huru pamoja na waliyo tarajia kuwa walinzi wako.
Maneno yangu yanaweza yasiwe na uzito kutokana na nafasi yangu ya kisiasa. Ninakushauri wewe pamoja na kamati Kuu iwapendeze hao walinzi kama hawatojali na wakikubali kazi yao ya kukulinda isikome ndiyo muwaajiri.
Ikiwapendeza omba kwa watanzania ombi maalumu la kuwajengea na kuwanunulia viwanja ambavyo vitajengwa majengo matatu ili wakiona majengo hayo na nyumba hizo watakumbuka haki huinua taifa ila dhambi ni aibu kwa watu wowote.
Nitafuhari na watanzania wapenda haki na upendo hakika litawafuta majonzi na kuwapa matumaini kumalizia safari ilio karibu ya ukombozi.
Mheshimiwa shaloom! Nilifurahi sana pale nilipo kuwa club house Rose mayemba akasoma ujumbe wakuwa upo huru pamoja na waliyo tarajia kuwa walinzi wako.
Maneno yangu yanaweza yasiwe na uzito kutokana na nafasi yangu ya kisiasa. Ninakushauri wewe pamoja na kamati Kuu iwapendeze hao walinzi kama hawatojali na wakikubali kazi yao ya kukulinda isikome ndiyo muwaajiri.
Ikiwapendeza omba kwa watanzania ombi maalumu la kuwajengea na kuwanunulia viwanja ambavyo vitajengwa majengo matatu ili wakiona majengo hayo na nyumba hizo watakumbuka haki huinua taifa ila dhambi ni aibu kwa watu wowote.
Nitafuhari na watanzania wapenda haki na upendo hakika litawafuta majonzi na kuwapa matumaini kumalizia safari ilio karibu ya ukombozi.