Richard Robert
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 632
- 340
CHADEMA ni Mpango wa Mungu,yeyote aendae kinyume nao ni Agent wa Ibilisi.
Mbona Zitto alienda "kinyume" na "mpango wa Mungu" ila juzi mlimsifia bungeni? na wote mkaufyata? mpaka Mwenyekiti Mbowe?
Ummy Mwalimu upo ?
Hii inanikumbusha CHOPA TATU, KATA TATU, haya yatajirudia tena safari hii!
Mbona Zitto alienda "kinyume" na "mpango wa Mungu" ila juzi mlimsifia bungeni? na wote mkaufyata? mpaka Mwenyekiti Mbowe?
Leo jioni uongozi wa wilaya ya Bagamoyo kwa kushirikiana na viongozi wa jimbo la Chalinze umezindua kampeni za serikali za vijiji na vitongoji katika kata ya Miono.
Hii ni sehemu ya mikutano inayofanywa na timu kumi za kampeni zinazozunguka wilaya nzima.
Viongozi waliohutubia:
1. Mbalase - Mwenyekiti wa wilaya.
2. Mathayo Torongey - aliyekuwa mgombea chalinze;
3. Idd ucheche - Katibu;
4. Asha - katibu mwenezi jimbo
Kuna chopa ngapi hapa?Hii inanikumbusha CHOPA TATU, KATA TATU, haya yatajirudia tena safari hii!
Wacha wakamilishe utaratibu kura zote CCM.
Mbona Zitto alienda "kinyume" na "mpango wa Mungu" ila juzi mlimsifia bungeni? na wote mkaufyata? mpaka Mwenyekiti Mbowe?
We binti umesikia mmeo kalazwa huko Ujerumani?Hii inanikumbusha CHOPA TATU, KATA TATU, haya yatajirudia tena safari hii!