TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
Hamna tofauti na vibaka wawili wanaoigiza kugombana ili wawaibie wasamalia wema.Mmoja anajifanya yupo CUF na mwingine anajidai yupo CHADEMA, ila wenye malengo yanayofanana,nalo ni kuvuruga UKAWA.Mtwara Mjini kuna mitaa yenye hadhi inashikiliwa na CDM.. Hebu nitajie mtaa wowote wenye hadhi hapo Mtwara Mjini kwako unaoshikiliwa na CUF.
Madiwani pia mwaka huu utaendelea kuwaona tena wa hapohapo Mtwara Mjini kwako, Ubunge?? kwani kuna Mbunge wa CUF Mtwara nzima?? We umelogwa au?? Zaidi ya Lindi mjini kuna Mbunge yeyote wa CUF kusini??
Mngekuwa smart mngeufyata mpaka gas ikatoka, ooh haitoki yako wapi. Na mtaendelea kuwa wa mwisho kiuchumi licha ya gas mpaka mjitambue
chadema inataka kuhakikisha taifa linakuwa chini ya mkristo sijui kama watadhubutu kumpatia lipumba hyo chansi.
wamakonde tuko smart sana
niambie jimbo lolote la kusini tulilotoa kura kwa chagadema
never never
Ladies & gents,
friends & enemies,
Hayawi hayawi hivi sasa yamekuwa,,kwa uwezo wake maulana hiv sasa tunazid kuomba uhai ili tujionee mbivu na mbichi katika siasa za nchi hii,
Without a further ado, najua nafahamika humu ndani,,na kwale wanaodhani tofauti basi niwape pole kwani sisi ni wale wale na siku zoote hatubadiliki na daima hatuwezI kuwa vikaragosi vya wanasiasa kama walivyo watu wengine,
CCM 2015 ndiyo hii imefika,,karibun sana Mtwara kwa mara nyingine na tutakuja kuhojiana vizur muda ukifika,,,je mtakuja tena na vifaru???ha Ha ha..karibuni sana.
Nisiwachoshe sana,i want to take this oppoturnity to congratulate our honourable professor Ibrahim Haruna Lipumba kwa kutoa nia yake ya kutaka kutanga kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kama tunavyojua kwamba CUF ni miongoni mwa chama kinachounda umoja wa ukawa katika kile kinachoonekana ni kuunganisha nguvu ya kuiondoa CCM madarakani,
Hongera sana Professor, lakini rai yangu kwako ni kwamba hawa jamaa zako ulioungana nao wanaoitwa CHADEMA wako desparate,,na kaa ukijua kwamba hawawezi kukubali kukupa kijiti hiko.
CHADEMA wanajua fika kwamba Zanzibar hawana chao, hata bara hawana chao lakinI ni the only place kwao kuliko bakia ambako wanakutolea macho, je unadhani wewe unaweza pata ridhaa yao???
Bila shaka huwez pata ridhaa yao,,i hate CCM, i really hate CCM kwa skendo zao za ufisadi, rushwa uongozi mbovu na mengi meengi yasiyo na kifani,,lakin i hate more CHADEMA kuliko CCM. na nataka kuwahakikishia chadema kwamba ule mwaka wa kustaajabu kwenu ndiyo huu umeshafika, na turufu yenu ya kuhurumiwa japo kiduchu ipo kwa ukawa, sasa jaribuni kumkata kijembe profesa lipumba then mtaona uhalisia wa kufeli kwenu jinsi kulivyo wazi wazi,
Kila mtu anajua fika ya kwamba mnajificha nyuma ya kivuli cha ukawa, ofcourse siyo mbaya kwenu lakini kaeni mkitambua kwamba tunazingatia sana mienendo ya siasa zenu,
Hongera sana Profesa.
akili za chadema zitarudi december 2015
Yule mama wa Masasi si wa Viti maalum?Huyo wa Masasi bila shaka atakuwa ni NDOOOOOROBOOOO ndio maana hata hafahamiki..
Bora yule wa Kilwa nilimsahau kidogo..
BTW sio mbaya, Kaskazini CDM, Kusini CUF, Magharibi NCCR Mashariki CDM & CUF
Wewe endelea tu na chuki zako..
Kuna watu wengine wawili tu wanaopenda sana kulitumia neno ndooorobo humu JF! Ni kama vile mtu anaficha kichwa mchangani kumbe bila kujua huko nje ameanika kila kitu...kaaazi kweli kweli!We ni NDOOOROBO KWELI...
Ladies & gents,
friends & enemies,
Hayawi hayawi hivi sasa yamekuwa,,kwa uwezo wake maulana hiv sasa tunazid kuomba uhai ili tujionee mbivu na mbichi katika siasa za nchi hii,
Without a further ado, najua nafahamika humu ndani,,na kwale wanaodhani tofauti basi niwape pole kwani sisi ni wale wale na siku zoote hatubadiliki na daima hatuwezI kuwa vikaragosi vya wanasiasa kama walivyo watu wengine,
CCM 2015 ndiyo hii imefika,,karibun sana Mtwara kwa mara nyingine na tutakuja kuhojiana vizur muda ukifika,,,je mtakuja tena na vifaru???ha Ha ha..karibuni sana.
Nisiwachoshe sana,i want to take this oppoturnity to congratulate our honourable professor Ibrahim Haruna Lipumba kwa kutoa nia yake ya kutaka kutanga kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kama tunavyojua kwamba CUF ni miongoni mwa chama kinachounda umoja wa ukawa katika kile kinachoonekana ni kuunganisha nguvu ya kuiondoa CCM madarakani,
Hongera sana Professor, lakini rai yangu kwako ni kwamba hawa jamaa zako ulioungana nao wanaoitwa CHADEMA wako desparate,,na kaa ukijua kwamba hawawezi kukubali kukupa kijiti hiko.
CHADEMA wanajua fika kwamba Zanzibar hawana chao, hata bara hawana chao lakinI ni the only place kwao kuliko bakia ambako wanakutolea macho, je unadhani wewe unaweza pata ridhaa yao???
Bila shaka huwez pata ridhaa yao,,i hate CCM, i really hate CCM kwa skendo zao za ufisadi, rushwa uongozi mbovu na mengi meengi yasiyo na kifani,,lakin i hate more CHADEMA kuliko CCM. na nataka kuwahakikishia chadema kwamba ule mwaka wa kustaajabu kwenu ndiyo huu umeshafika, na turufu yenu ya kuhurumiwa japo kiduchu ipo kwa ukawa, sasa jaribuni kumkata kijembe profesa lipumba then mtaona uhalisia wa kufeli kwenu jinsi kulivyo wazi wazi,
Kila mtu anajua fika ya kwamba mnajificha nyuma ya kivuli cha ukawa, ofcourse siyo mbaya kwenu lakini kaeni mkitambua kwamba tunazingatia sana mienendo ya siasa zenu,
Hongera sana Profesa.
Tulizana tia akili kichwani acha kutangatanga huku na kule kila kukicha.
CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?