Good move....but still bado kuna changamoto za kiutendaji ngazi za chini za chama (i.e wilaya mpaka kata). My suggestions wangejaribu kuassign wabunge kikanda ku-monitor kazi za chama kuanzia ngazi za wilaya mpaka kwenye kata, but my take wasi wa-assign kutokana na ukanda walipotokea katika nafasi zao za Ubunge kuondoa mentality za kikanda na kutoa loop-holes kushambuliwa na Magamba.
My experience kama mdau wa chama ni kwamba we need influential political Leaders ambao watakuwa karibu zaidi za viongozi wa wilaya, majimbo na kata hasa kwa mikoa isiyo na Wabunge kutoka CDM. Bado tuna viongozi wengi ngazi za chini za chama ambao lazima wapewe skills za kiutendaji kukabiliana na ushindani na Magamba, kuliko kufika tu wakati wa operesheni za chama.