Kimetah JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 1,049 Reaction score 189 Oct 19, 2014 #1 Sirari mmeitosa chadema au vp? siamini macho yangu kama ndio chadema ya UKAWA
M maswitule JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 1,392 Reaction score 477 Oct 19, 2014 #2 mbona umepiga kusiko na watu ukaacha waliko watu?
P Pachama Senior Member Joined May 24, 2013 Posts 149 Reaction score 18 Oct 19, 2014 #3 Kwanza unapotosha kwanini usionyeshe mbele ya mkutano mhutubiaji anaangalia mbele kumaanisha ndiko kuna watu pia hiyo sirari huwa ni ccm na history inaonyesha hivyo sasa huamini nini sasa ???
Kwanza unapotosha kwanini usionyeshe mbele ya mkutano mhutubiaji anaangalia mbele kumaanisha ndiko kuna watu pia hiyo sirari huwa ni ccm na history inaonyesha hivyo sasa huamini nini sasa ???
M makubazi JF-Expert Member Joined Feb 15, 2013 Posts 2,047 Reaction score 365 Oct 19, 2014 #4 Hapo mi naona hakuna siasa hapo ni yesu ni mungu tuu kwa vile ninavofahamu na mikutana yote ya chadama ni huwa nyomi
Hapo mi naona hakuna siasa hapo ni yesu ni mungu tuu kwa vile ninavofahamu na mikutana yote ya chadama ni huwa nyomi
Ghosryder JF-Expert Member Joined Jul 6, 2014 Posts 10,708 Reaction score 4,577 Oct 19, 2014 #5 Wanauchungu na marehemu Chacha Wangwe, R.I.P Wangwe.
SHIEKA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 8,240 Reaction score 4,270 Oct 19, 2014 #6 Maji yamefika shingoni? Kumbe soon yatafika mdomoni wayanywe watulize roho!
Wapoti JF-Expert Member Joined Aug 28, 2013 Posts 2,824 Reaction score 1,099 Oct 19, 2014 #7 Lakini mtu akiongea unamsikiliza kwa kumwangalia kichogo au usoni?. Naona picha zote hawajapiga kwa mbele
Lakini mtu akiongea unamsikiliza kwa kumwangalia kichogo au usoni?. Naona picha zote hawajapiga kwa mbele
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Oct 20, 2014 #8 hata Lisu namuona kakata tamaa .but mtoa mada umetoa half story
suleym JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,961 Reaction score 1,211 Oct 20, 2014 #9 Hao wanao hutubiwa mbona hujawaonyesha?