Gor JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 2,791 Reaction score 850 Sep 17, 2015 #1 Jamani tajeni jina la chama chenu....tumekisahau. Mara Magufuli, Mara john Pombe ndiyo yanasikika lakini CCM imekuwa adimu mno!. Kwa nini?
Jamani tajeni jina la chama chenu....tumekisahau. Mara Magufuli, Mara john Pombe ndiyo yanasikika lakini CCM imekuwa adimu mno!. Kwa nini?
A aiai654 JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 3,857 Reaction score 1,264 Sep 17, 2015 #2 Kimekosa mvuto machoni mwa watanzania
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 36,465 Reaction score 45,039 Sep 17, 2015 #3 Mgombea anajinadi kwenye anasema - Tanzania ni Magufi itafanya.......badala ya kusema Tanzania mpya ya awamu ya tano under CCM itafanya ........ CCM anainyanyapaa sana.
Mgombea anajinadi kwenye anasema - Tanzania ni Magufi itafanya.......badala ya kusema Tanzania mpya ya awamu ya tano under CCM itafanya ........ CCM anainyanyapaa sana.
Menapitatu Senior Member Joined May 12, 2013 Posts 195 Reaction score 86 Sep 17, 2015 #4 Wezi tu Hao wanaiba mpaka slogan
M Mtagingwembe JF-Expert Member Joined Nov 7, 2012 Posts 377 Reaction score 91 Sep 17, 2015 #5 Wamechanganyikiwa ndiyo maana wanasema M4C=Magufuli for change. Wajinga kweli kweli.
M MTENDAHAKI JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 4,013 Reaction score 1,448 Sep 17, 2015 #6 Gor said: Jamani tajeni jina la chama chenu....tumekisahau. Mara Magufuli, Mara john Pombe ndiyo yanasikika lakini CCM imekuwa adimu mno!. Kwa nini? Click to expand... Mara ya mwisho kusikia chadema lini maana ni ukawa na Lowasa
Gor said: Jamani tajeni jina la chama chenu....tumekisahau. Mara Magufuli, Mara john Pombe ndiyo yanasikika lakini CCM imekuwa adimu mno!. Kwa nini? Click to expand... Mara ya mwisho kusikia chadema lini maana ni ukawa na Lowasa
Click Hapa JF-Expert Member Joined Jan 27, 2013 Posts 479 Reaction score 206 Sep 17, 2015 #7 MTENDAHAKI said: Mara ya mwisho kusikia chadema lini maana ni ukawa na Lowasa Click to expand... Ignorance and stupidity at its best level.
MTENDAHAKI said: Mara ya mwisho kusikia chadema lini maana ni ukawa na Lowasa Click to expand... Ignorance and stupidity at its best level.
K kirang'enta Member Joined Dec 27, 2013 Posts 35 Reaction score 23 Sep 17, 2015 #8 CCM=Choni Choni Makomeo
L Lorah JF-Expert Member Joined Aug 22, 2008 Posts 1,193 Reaction score 203 Sep 17, 2015 #9 Ndo hivyo ccm imeshaondoka kwenye raman ya Tanzania sasa tunatakiwa kukatisha mkataba kisheria ifikapo tarehe 25
Ndo hivyo ccm imeshaondoka kwenye raman ya Tanzania sasa tunatakiwa kukatisha mkataba kisheria ifikapo tarehe 25
yomboo JF-Expert Member Joined May 9, 2015 Posts 6,225 Reaction score 4,905 Sep 17, 2015 #10 Gor said: Jamani tajeni jina la chama chenu....tumekisahau. Mara Magufuli, Mara john Pombe ndiyo yanasikika lakini CCM imekuwa adimu mno!. Kwa nini? Click to expand... Sasa hivi wameania m4c Ccm bwana dah Huwa nikiangaliaga pugu road sijawai kuona duka LA mzawa hata mmoja taifa hili ni taifa la slaves
Gor said: Jamani tajeni jina la chama chenu....tumekisahau. Mara Magufuli, Mara john Pombe ndiyo yanasikika lakini CCM imekuwa adimu mno!. Kwa nini? Click to expand... Sasa hivi wameania m4c Ccm bwana dah Huwa nikiangaliaga pugu road sijawai kuona duka LA mzawa hata mmoja taifa hili ni taifa la slaves