Suala la ardhi hapa arumeru ni tatizo linalohitaji ufumbuzi wa haraka sana, wageni wanamiliki maeneo makubwa sana, mtu mmoja anamiliki hadi ekari mia tano halafu eneo halitumiki kwa shughuli yoyote, kuna haja ya haya maeneo yanayomilikiwa na hawa watu tunaowaita wawekezaji lakini hawayatumii kugawiwa kwa wananchi