Niko na castor APA ndo tunasubiri Pasi ipate moto ili tusolve ishu ya tattooIla wambea tulimwambiaga huyu , alivyotuchambaga sasa , mpaka tattoo akajichora mwenyewe , akaona Kafika, wambea tukawa tunahesabu siku tu kama kawaida yetu na kweli yametia , bwana mkubwa naona kapewa cha uso[emoji38]
Ila wanaume wengine bhana , sasa casto kwa akili zako na wewe , na kibarua chako cha utangazaji ukaona unaweza kumtuliza Tunda? Mpaka mtoto wako patrick ukamtekeleza(rest in peace) , ukawa usikii hili wa lile, kutwa unakula bata na tunda, ukatuchamba wambea kuwa tunakuonea wivu maneno kibao , hivi ukisikiliza zile interview now unajisikiaje? Dah maumivu yake nayajua Ila pole ndo ukubwa, naona Tunda kakufilisi kaona huna jipya kaamua kusepa
Kwa aliye na akili timamu, akisoma huu uandikaji wa casto , jinsi alivyoandika kwa hekima ni dhahiri kaka yetu Hana chake tena , tatizo wambea tukiwaonya mnaleta midomo na kujifanya wajuaji, sasa ile tattoo sijui utafanyaje maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa mmbeaIla wambea tulimwambiaga huyu , alivyotuchambaga sasa , mpaka tattoo akajichora mwenyewe , akaona Kafika, wambea tukawa tunahesabu siku tu kama kawaida yetu na kweli yametia , bwana mkubwa naona kapewa cha uso[emoji38]
Ila wanaume wengine bhana , sasa casto kwa akili zako na wewe , na kibarua chako cha utangazaji ukaona unaweza kumtuliza Tunda? Mpaka mtoto wako patrick ukamtekeleza(rest in peace) , ukawa usikii hili wa lile, kutwa unakula bata na tunda, ukatuchamba wambea kuwa tunakuonea wivu maneno kibao , hivi ukisikiliza zile interview now unajisikiaje? Dah maumivu yake nayajua Ila pole ndo ukubwa, naona Tunda kakufilisi kaona huna jipya kaamua kusepa
Kwa aliye na akili timamu, akisoma huu uandikaji wa casto , jinsi alivyoandika kwa hekima ni dhahiri kaka yetu Hana chake tena , tatizo wambea tukiwaonya mnaleta midomo na kujifanya wajuaji, sasa ile tattoo sijui utafanyaje maskiniπ€£π€£π€£
Yule ni demu wa kula na kuondoka yani hakajatulia. Mpaka kinje na uzee ule amekalaHongera Sana Castro kwa kuachwa na Tunda naona hela yako utaanza kuhifadhi/kuitunza.
HahahaaaNiko na castor APA ndo tunasubiri Pasi ipate moto ili tusolve ishu ya tattoo