tss Member Joined Aug 31, 2023 Posts 73 Reaction score 41 Nov 29, 2023 #1 Ipi inatambulika Tanzania ,na ajira zake zipoje ,nawasilisha
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,687 Reaction score 193,701 Nov 30, 2023 #2 Ngoja waje kukupa muongozo...
sarcomere1 JF-Expert Member Joined Dec 11, 2018 Posts 330 Reaction score 632 Nov 30, 2023 #3 tss said: Ipi inatambulika Tanzania ,na ajira zake zipoje ,nawasilisha Click to expand... Radiology ndo marketable, mwaka juz hata mwaka Jana ajira za tamisemi wataalamu wa mionzi (radiologist) nafasi zake hadi zilikosa watu, baada ya placement wakarudia kutangaza tena
tss said: Ipi inatambulika Tanzania ,na ajira zake zipoje ,nawasilisha Click to expand... Radiology ndo marketable, mwaka juz hata mwaka Jana ajira za tamisemi wataalamu wa mionzi (radiologist) nafasi zake hadi zilikosa watu, baada ya placement wakarudia kutangaza tena