hurrem_sultana Senior Member Sep 6, 2018 136 361 Sep 8, 2018 #1 Baada ya jana Cardi B kuchezea kichapo inaonekana bifu kati ya wawili hawa sio la kuisha leo wala kesho. Nicky Minaj alidumu kwenye game kwa muda mrefu bila upinzani sasa kampata mpinzani wa kweli anawashwa washwa. Kwanza album yake ni mbovu mnoo lazima apanic. Iggy Azalea karudi nae kwa kasi ya ajabu
Baada ya jana Cardi B kuchezea kichapo inaonekana bifu kati ya wawili hawa sio la kuisha leo wala kesho. Nicky Minaj alidumu kwenye game kwa muda mrefu bila upinzani sasa kampata mpinzani wa kweli anawashwa washwa. Kwanza album yake ni mbovu mnoo lazima apanic. Iggy Azalea karudi nae kwa kasi ya ajabu
Mama Sabrina JF-Expert Member Jul 30, 2016 16,621 27,567 Sep 8, 2018 #2 Mi kwa Nick huniambiii kitu aiseee
MAJIYAPWANI JF-Expert Member Oct 1, 2017 966 1,225 Sep 8, 2018 #3 hakuna rapper hapo wote wanapushiwa na GHOSt writes