King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,685
- 94,616
Wabongo mnapenda kutapeliwa, bei ya kitu inategemea na wewe ulikipataje (gharama). Nimejaribu kuwa fair kutokana na hali ya uchumi kwa yule ambae hana gari na angetamani kuwa na kausafiri basi apate, kwa sasa imepark tu; hivyo ni bora nimpatie mhitaji. Asanteni kwa kunifungua kwamba bei ni ndogo, sasa nimeongeza, HIYO GARI INAUZWA TSH 5,555,555/=, hakuna mazungumzo.
Nissan Sunny - For only Tsh. 3,333,333/=. Contact me - PM
Utaletewa hadi mlangoni, popote ndani ya TZ.
View attachment 48683
View attachment 48684
View attachment 48685
Acha kuishi kwa mazoea.......!!!