Wabongo mnapenda kutapeliwa, bei ya kitu inategemea na wewe ulikipataje (gharama). Nimejaribu kuwa fair kutokana na hali ya uchumi kwa yule ambae hana gari na angetamani kuwa na kausafiri basi apate, kwa sasa imepark tu; hivyo ni bora nimpatie mhitaji. Asanteni kwa kunifungua kwamba bei ni ndogo, sasa nimeongeza, HIYO GARI INAUZWA TSH 5,555,555/=, hakuna mazungumzo.