Habari wadau nina mahitaji ya camera aina ya canon au Nikon iwe katika conditions nzuri
napatikana dar es salaam.
contacts 0625503796/0763175222
email: sstansloustheobard gmail.com
Hapana zipo profesional camera zenye wifi mfano Nikon D7100,D7200 na nyingine za sasa nyingi yeye atangaze tu anabei gani tumpe mzigo huku mpakani kila kitu kinapatikana
naweza shawishika kuiuza nina nikon D300
nilinunua nje miaka kadhaa iliyopita sijawahi kuitumia zaidi ya mara 5 kupiga picha zaidi ya 100 kwa wakati mmoja
ina lens protector
ina lens ya 200m
bado ni mpya
nishawishi nikuuzie
huko kwenyewe zinakotengenezwa wanauziana mitaani na mitandaoni, sembuse Afrika? Kinachoshauriwa usinunue used ni chupi, ambayo nayo bado conservationists and microbiologists wana debate kwa sababu ukiiweka kwenye 2% bleach solution ukatoa ukaitia kwenye maji at 100 °C for 5 minutes inakuwa salama kuliko ya dukani.
Sembuse camera ya mkononi? Watu wanajisemea tu, "nunua ya dukani," muulize kwa nini, hana jibu, kajitamkia tu!