CAD Engineer available

Kama upo interested kufanya kazi serikalini naona kuna nafasi zimetangazwa i think ni wizara ya ujenzi/miundombinu zaidi ya 150 kwenye fani ya civil and transportation engineering.
 
Kama upo interested kufanya kazi serikalini naona kuna nafasi zimetangazwa i think ni wizara ya ujenzi/miundombinu zaidi ya 150 kwenye fani ya civil and transportation engineering.

Nimeziona mkuu , ngoja ni apply .
 
ni nafasi nyingi sana za Civil Engineers esp Graduate Eng.
 
mkuu mbona nimeangalia ajira.go.tz sijaona hizo nafasi za kazi... naomba clarification mkuu.

Check vizur kwa pembeni zipo kwenye PDF ambapo unatakiwa u-download.
 
CAD eng bado anapatikana kwa wale wenye miradi ya barabara, maji nk.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…