Wezi tu hao tena washenzi hao ndo wanafanya ajira zinakuwa ngumu sana hapa Tanzania.Kila mara utaona kwenye matangazo yao eti Readvertised wakati wangeachiwa taasisi husika isingeweza kukosa wa kumwajili.Bora hii sijui secretariat ama tume ivunje ajira zisakwe kama ilivokuwa zamani