Boy friend & Girl friend

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,255
Girl:bby..
Boy: yec bby..
Girl: Hii simuu..
Boy: Imefanyajee?
Girl: Inazinguaa..
Boy: ina nn?
Girl: asa kila siku wananiona na
hiihii?
Boy: sasa si ndo uliyonayo?
watakuonaje na ingine?
Girl: aaaah! bby mi najickia
vbayaa..
Boy: ucjickie bebi, kwan vipii?
Girl: marafiki zang wote wana cm
nzuri, wananicheka..
Boy: usishindane naoo, wazazi
wao wana hela! naww soma
mwanetu asije kuchekwa ka
ww...sawa?
Girl: bby stakiiii....
Boy: tufanyeje ss?...........bby
Girl: namm nataka iPhone-5s, au
galaxy-s5
Boy: bby si tumekubaliana
tuvumiliane lkn? umekuaje tangu
ufike chuo?
Girl: hamna.
Boy: mi mwenyew naishi kwa
mkopo, bado cjawaza unakula nn,
iPhone mi natoa wap?
Girl: mi cjui bwana, we
mwanaume..
Boy: Mi mwanaume ndio, ila
usinifanyie ivyo mamy...mwenyew
unajua..
Girl: Poa, bas ntajua ntakoipata
mwenyewe..
Boy: kwaio husomi tena unawaza
i4n sio? we unasoma au unafanya
maonyesho ya simu?
Girl: nasoma..
Boy: sasa hiyo uliyonayo ina shida
gan? muda wa ma2miz ya sim
kwanza unatoa wap?
Girl: bby mi mtoto wa kikee..
Boy: kwaio unatakaje?
Girl: nataka niwafunike wotee..
Boy: poa, kesho tukutane twn bas
nkakununulie turubai...pumbavu
 
hapo pa kumnunulia turubai ndio kaua kabisa
 
Na huyo girlfriend naye afunikwe humo humo ndani ya turubai.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…