Habari wana JF,
Naomba msaada kuhusu biashara ya vitenge vya mafuta au Java, Mbeya vinauzwa 15000 kwa pieces 2/ doti, na 43000 kwa pieces 6 /jola, nasikia wananunua Dar kwa jumla. Naomba kujua bei ya jumla Dar ni shiling ngapi? Na vinapatikana Dar sehem gani?
Natanguliza shukrani, naomba mnisaidie