shekhe89
Member
- Aug 26, 2014
- 49
- 2
Hello.
Mimi ni kijana nina miaka 25, nipo Zanzibar. Nina elimu ya Diploma ya juu (advanced diploma) katika fani ya Finance.
Kuna idea ambayo nahisi ina tija sana kwa maeneo ya dar es salaam na kila kukicha idea ninazofikiria wanatokea watu na pesa zao na kuzifanyia kazi.
Tatizo linalonikwamisha mm kutofanyia kazi hzo idaes ni.mtaji.
Idea yenyewe ni kuanzisha maduka ya ice cream katika maeneo ya mkusanyiko wa watu kama vile mikahawani, sehemu zenye maofisi, zehemu za kufurahishia watoto, mapumziko nk.
ninapozungumzia ice cream naomba nieleweke ni zile zenye mfano anazotengeneza azam.
asanteni.
kwa maelezo zaidi nitafute kwa
call/sms/whtap +255 772 993 820
Mimi ni kijana nina miaka 25, nipo Zanzibar. Nina elimu ya Diploma ya juu (advanced diploma) katika fani ya Finance.
Kuna idea ambayo nahisi ina tija sana kwa maeneo ya dar es salaam na kila kukicha idea ninazofikiria wanatokea watu na pesa zao na kuzifanyia kazi.
Tatizo linalonikwamisha mm kutofanyia kazi hzo idaes ni.mtaji.
Idea yenyewe ni kuanzisha maduka ya ice cream katika maeneo ya mkusanyiko wa watu kama vile mikahawani, sehemu zenye maofisi, zehemu za kufurahishia watoto, mapumziko nk.
ninapozungumzia ice cream naomba nieleweke ni zile zenye mfano anazotengeneza azam.
asanteni.
kwa maelezo zaidi nitafute kwa
call/sms/whtap +255 772 993 820