Beautifull house design, reliable work

Hizi umezichora wewe au umezipata humu mtandaoni?
Nalog off
 
kwa sababu ziko nyingi za namna hii mtandaoni.

Ni kweli Mkuu, lakini kkumbuka na hapa tuko mtandaoni pia, na yeye ni moja ya mamilioni ya architects duniani, tuwakubali vijana jamani, kama unahtaji kweli unamtembelea ofisini kwake, au unamwambia akutumie profile. Mimi nilijua mkuu Washawasha ameona hiyo michoro extact sehemu, hiyo kweli ingekuwa uzembe na udanganyifu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini hauamini kama amezichora yeye?
sio kwamba siamini ila huwa naziona zinazagaazagaa nikajua labda na yeye kaziona huko ila kama yeye ndiye mchoraji basi sina budi kumpa hongera.
 
Sikumbuki ni website gani ila hiyo picha ya nyumba ya tatu hapo juu niliwahi kuiona na ndio maana nikauliza swali lile.Ila kama yeye ndiye mchoraji basi nampa hongera yake anayostaili.Si unajua nami naweza nikazipenda hizi picha na kuziweka sehemu ambayo naiona mimi inafaa.
 
Gharama zikoje kwa nyumba za mimi wa kipato kidogo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…