Basi kama mjuavyo mimi ni mgeni humu jf kwahiyo niombe radhi kama hii post haitakuwa mahali pake.,,
Bas after college nikaamua kutafuta tempo wakati nikisubiri serikali yangu sikivu. Mungu mkubwa nikapata shule moja kubwa tu hapa dar bas si unajua mwisho wa mwezi umekaribia? bas walimu full kupiga mzigo, basi leo after break time ticha nikaenda toilet faster ili niwah kipind, bas ile naingia class naanza kupiga pindi nikastuka mbona upepo unapuliza uku chini? halafu nikaona mbona watoto wamekuwa wapole kuliko siku zote? hata wale wasinziaji leo wako active? nikapeleka mkono downward loh! kumbe sikufunga zipuuu! basi sikujua nilitokaje mle clas,,
no wonder why students fail alot nowadaysBasi kama mjuavyo mimi ni mgeni humu jf kwahiyo niombe radhi kama hii post haitakuwa mahali pake.,,
Bas after college nikaamua kutafuta tempo wakati nikisubiri serikali yangu sikivu. Mungu mkubwa nikapata shule moja kubwa tu hapa dar bas si unajua mwisho wa mwezi umekaribia? bas walimu full kupiga mzigo, basi leo after break time ticha nikaenda toilet faster ili niwah kipind, bas ile naingia class naanza kupiga pindi nikastuka mbona upepo unapuliza uku chini? halafu nikaona mbona watoto wamekuwa wapole kuliko siku zote? hata wale wasinziaji leo wako active? nikapeleka mkono downward loh! kumbe sikufunga zipuuu! basi sikujua nilitokaje mle clas,,
Basi kama mjuavyo mimi ni mgeni humu jf kwahiyo niombe radhi kama hii post haitakuwa mahali pake.,,
Bas after college nikaamua kutafuta tempo wakati nikisubiri serikali yangu sikivu. Mungu mkubwa nikapata shule moja kubwa tu hapa dar bas si unajua mwisho wa mwezi umekaribia? bas walimu full kupiga mzigo, basi leo after break time ticha nikaenda toilet faster ili niwah kipind, bas ile naingia class naanza kupiga pindi nikastuka mbona upepo unapuliza uku chini? halafu nikaona mbona watoto wamekuwa wapole kuliko siku zote? hata wale wasinziaji leo wako active? nikapeleka mkono downward loh! kumbe sikufunga zipuuu! basi sikujua nilitokaje mle clas,,
Sasa kwani hiyo ishu..!? mie zilishanitokea mara kibaao..
unafundisha somo gani?,ila usiogope fanya kama vile hujakosea piga pindi
Baba v kumbe nawe ticha good..
Sasa kwani hiyo ishu..!? mie zilishanitokea mara kibaao..