Kama ni kwaajili ya kupokelea mkopo ni vyema ukajua kwanza chuo unachoenda wanatumia bank gani hii itakuwa rahisi kwenye suala la kuwekewa fedha, mfano kama chuo kinatumia crdb na ww fungua crdb, benki tofauti na chuo hula Mara nying wanachelewe kuwekewa mzigo
Sent using
Jamii Forums mobile app