January songo
Member
- May 26, 2017
- 96
- 100
Mixer kg 5/m5 na oven tray 2 m5.5Nahitaji kujua bei ya Mixer ya kilo 5 na jiko la tray mbili!
Picha ya traysMixer kg 5/m5 na oven tray 2 m5.5
Picha ya trays
Samahani mixer kg 5 ni milioni mojaPicha ya trays
Mixer ni milioni 5 au moja? Alafu una jiko la umeme tray mbili? Kam ndio n bei gani?Mixer kg 5/m5 na oven tray 2 m5.5
Mixer kilo 5 bei milioni moja jiko la umeme tray au plate mbili lipo laki moja ni plate sio trayMixer ni milioni 5 au moja? Alafu una jiko la umeme tray mbili? Kam ndio n bei gani?
Hio ni ya kuchomea tu baada ya kuzisukuma vizuri unatupia kwenye hii mashine chapati sita kwa pamoja kama unavyoweka kwenye flip pan [emoji505]Nadhani ingekuwa vizuri ukalist aina ya hizo oven na bei zake. Pia hebu nipe ufafanuzi kuhusu hiyo mashine ya chapati. Inafanyaje hizo chapati?
Ok ya umeme ni m7.5 na ya gase ni m8OVEN YA TRAY 3 NI SHILINGI NGAPI?
Hapana na umeme zipoequipments hizo zinatumia gas tu ?
Ndio tunazo unaweza pia kuziangalia instagram @nafuu_vunja_bei_electronicsToaster mnazo ? Bei gani ?