Mwezi 1 uliopita kulikuwa na zoezi la kupima Afya kwa hiari kwa uzamini shirika la NSSF, nilijikuta naenda kupima tezi ndume, pressure, sukari na HIV ilikuwa ni mara ya kwanza. Kipimo cha papo kwa papo niko salam kabisa.
Mwezi 1 uliopita kulikuwa na zoezi la kupima Afya kwa hiari kwa uzamini shirika la NSSF, nilijikuta naenda kupima tezi ndume, pressure, sukari na HIV ilikuwa ni mara ya kwanza. Kipimo cha papo kwa papo niko salam kabisa.