Azam TV kulikoni?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
23,261
Reaction score
28,420
Mwezi wa tisa AZAM TV mlitutangazia kuwa mnaboresha upatikanaji wa matangazo baada ya kuona kila mvua inyeshapo matangazo hukatikakatika hivyo mnahama kutoka masafa ya zamani kuna ya sasa.

Hata hivyo, tatizo bado liko vilevile. Kulikoni?

Information
No or bad signal
Information
No or bad signal
Information
No or bad signal
 
Walihama kutoka Eutelsat 7b kwenda 7c
 
Walichoweza ni chanel zote isipokuwa utv na extra kuwa HD basi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…