Arumeru: CCM mmekosa wagombea Arumeru?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Jimbo hili wamelitafuta kwa nguvu nyingi lakini inapokuja kuwateua wagombea naona Kama wale watuhumiwa wa rushwa kubwa na ndogo ndio waliochukua fomu na natumai ndio watakaopitishwa maana wajumbe waliopo ukumbini hata ukiwauliza wanataka kiongozi wa aina gani hawajui.....historia ya wale wamwaga fedha kupata uongozi

Nadhani tukipata CV zao mtawajua wagombea ni akina nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jimbo la Arumeru, kuna Arumeru Mach na mash. Unamaanisha jimbo la Nassari? Hilo ni Arumeru mashariki.
 
Wamweke NASSARI,kwan adhma c tiyar isha kamilika? dogo janja sana huyo! hakika Watanzania wanaakili ka ya kungun vile mweee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…