Apartment ya kisasa inapangishwa

Tanzan

Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
40
Reaction score
13
Apartment mpya na iliyo sehemu nzuri inapangishwa katika Jengo la Watumishi Housing, Magomeni Usalama. Ina vyumba vitatu vya kulala, moja ni self contained. Ina sitting room, open dining room, kitchen, store, balcony ya mbele na ya nyuma. Kuna parking ya magari yenye usalama, CCTV camera, ulinzi wa uhakika na huduma za shopping floor za chini. Apartment ipo floor ya tatu, upande wenye view nzuri ya mjini na upepo mwanana. Jengo liko pembeni mwa Morogoro road, kituo cha Mwendo Kasi cha Usalama. Ni Km 2 to kufika town center.-Samora. Kodi ni 700,000/ kwa mwezi na unaweza ku
























lipa kwa mkupuo wa miezi 6. Maongezi yapo. Apartment yafaa kwa makazi na ofisi. Karibuni kwa mawasiliano zaidi 0752392356.
 
bei halisi ya hizo apartments ni 200,000/=
sijui hiyo 700,000/= umeitoa wapi.
 
bei halisi ya hizo apartments ni 200,000/=
sijui hiyo 700,000/= umeitoa wapi.
 
Je nitatakiwa kukulipa wewe pesa ya mwezi mmoja ya udalali?
 
Picha zaidi za ndani tafadhali
 
Km 2 mpaka Samora? Kumbe watu wanajilegeza tu huu ni mwendo wa kutembea hata jasho hutoki!
 
bei halisi ya hizo apartments ni 200,000/=
sijui hiyo 700,000/= umeitoa wapi.
Kama ni laki 2, hebu ngoja na mimi nikapange , bei mchekea kabisa, rum 3 laki mbili?.....
 
Naomba kigezo cha kusema bei halisi ya hizo apartment ni lak 2
Wakuu nashukuru mmemjibu wenyewe huyo aliyeeneza uongo wa laki 2. Ameona hoja zenu hadi amekimbia. Huu ndiyo uwazi na ukweli.
 
Wakuu nashukuru mmemjibu wenyewe huyo aliyeeneza uongo wa laki 2. Ameona hoja zenu hadi amekimbia. Huu ndiyo uwazi na ukweli.
Ubaya Jf wajuaji wengi...ndo maana ukiwaomba clarification wanakimbia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…