Anti virus gan nzuri kwa computer

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,062
Nilikua natumia kaspersky kwa window 7 gharama zikanishinda kwan inakaa kwa mwaka tuu ina expire nikahamia avast sasa hii ni nzuri kwani ni forever elf15 tuu wa enjoy milele 99yrs of expiration.
sasa jaman naomben uzoef wenu ipi bora na nyinginezo pia nambien
 
Kama unataka ulinzi madhubuti wa pc yako TUMIA KASPERSKY au bitdefender tena ukanunue dukani ya mwaka mmoja...achana na hizi za miaka 100 sijui 99 ni usanii mtupu!!!
 
antivirus kamili ni ile ambayo inakuzuia kwa mtandao na pia kwa pc kama vile flash disk au memory kadi
 
Nafikiri ya kununua tumia KASPERSKY na free tumia AVAST HIZI NI NZURI zitakulinda mtandaoni na pia kwa vifaa kama vile flash disk au memory kadi
 
Kama unatumia Mac au Windows 10 usijisumbue kuweka antivirus, OS ina security system yake automatically nzuri tu.
Kama unatumia nyingine basi usifikirie hizi kaspersky, node kwa kua ni nzito sana, zinafanya mashine kua slow na kama ni laptop hata battery pia inakwisha kwa speed, chukua Malwarebytes Anti-malware, inatosha kabisa.
 
hiyo windows 7 si ui upgrade bure to windows 10,ambayo ina inbuilt antivirus
 
MKUU SET UP ZAKE UNAZO????

hiyo una download free version tu halafu unatafuta key tu ingia hapa kupata setup Anti-Malware for your home and for your business

jaribu hizo
----------------------
-:[<<< KEY >>>]:-
-----------------------
ID: 1EP51
Key: YM38-Q84W-75CA-YYQD
-----------------------
ID: 2AI42
Key: PL7F-JVQJ-0TAU-7J9J
-----------------------
ID: 3DS59
Key: J3PU-AJYU-2QLH-AVTT
-----------------------
ID: 4QQ67
Key: 47EG-89CL-0AUG-CNW9
-----------------------
ID: 5WT89
Key: 2TQL-J7UQ-VQP4-0X50
-----------------------
ID: 6AL28
Key: WGTF-72DD-4033-XJ2Y
-----------------------
ID: 7FV33
Key: 4Q5P-Y52X-YG38-TTXT
-----------------------
ID: 8UU87
Key: YWL8-VMVH-PG1L-Y8RD
-----------------------
ID: 9SM47
Key: P89C-6XQR-KLMY-DAMK
-----------------------
ID: 1PF24
Key: 76PM-29MN-3EWB-VM78
-----------------------
 
Kama unapenda vya bure jaribu, 360 Total Security.
Ina engine tatu, ya kwake, avira na bitdefender, ina clean junk files, inaspeedup boot time na pia ni nyepesi sana!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…