Nyingi hapo zinausiana na mfumo wa sauti.
Hata hivo kibongo bongo wengi hazina mantiki kwani mfumo wa sauti wenye kusapoti hivo vitu hawana. Na hata walionavyo hawajapangilia ili kupata ile ladha iliyokusudiwa.
Mfano dolby atmos (7.1/7.2) 5.1.2=5 (front r & left >center chanel>surrounding right and left.) 1 (subwoofer) 2( ceiling speaker or front high right & left)
Sasa wengi hata hiyo system hatuna zaidi y 2 chanel subwoofer ukijitahidi sana unakuta una 5.1 home theater.
Kwanza ni ghali mno.
Kwa nilivofatilia ili uwe na mfumo mzuri wa sound home wa kusapot hizo features hapo uwe na si chini ya million 2.