Anataka nimuoe yeye

samwel mahera

Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
7
Reaction score
4
Jamani nisaidieni hili kuna binti anataka nimuoe wakati mi nipo tayari kwenye ndoa,nlipo mwambia nmeoa kaniambia nmwache mwanamke wangu nmuoe yeye,abadai ananipenda sana kinacho nichanyanga sana nmekua nae yaani nlimheshmu kama Dada yangu,naweza sema namjua zaidi hata kuliko mke wangu mana toka utoto namjua,nifanye nini au nimwache mke wangu ili nimuoe yeye??
 
Muache ndio mkeo umuoe yeye maana anakupenda Sana. Baada ya mwaka atatokea mwingine anakupenda zaidi utamuacha huyu Wala usijali na just before uchaguzi 2020 atatokea mwingine anakupenda zaidi kabisa umuache huyo mwingine nae umuoe yeye

Kwani kuoa kitu gani bana. We mwache tu
 
Ww na huyo mhepuko wako hamjakuwa kiakili. Ww ni mtoto na yeye ni mtoto.
Mtu alieoa na anaheshim ndoa yake hawez kuomba ishauri kwa suala dogo na la kijnga kama hili.

Mke wako ana hasara lama akili yako dio hii.
 
Kwanzaa ushamtafuna ? hicho ndo cha muhimu

Kama tayari achana na huyo mpuuzi endelea na ndoa yako Kama bado hakikisha unamtafuna halafu endelea na mambo yako

Nimesema hayo sababu ni aibu kwa baharia kuacha papuchi uliojisogeza hvyo
 
Kwanzaa ushamtafuna ? hicho ndo cha muhimu

Kama tayari achana na huyo mpuuzi endelea na ndoa yako Kama bado hakikisha unamtafuna halafu endelea na mambo yako

Nimesema hayo sababu ni aibu kwa baharia kuacha papuchi uliojisogeza hvyo
Umemaliza tawi limejisogeza karibu yake achape asepe
 
Kama unamjua toka utotoni ndio nini sasa ?
We jamaa bhn, zero kweli.
 
Hukustahili ata kua mke wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…