Anahitajika Academic manager 1

Katika nchi yetu toka ipate uhuru sijawahi kusikia kigezo cha udini kikiwa listed wazi wazi kama ulivyo fanya wewe,ila mimi nakupongeza kwa kutokuwa mnafiki wa kuficha hisia na hurka zako za udini.
Niliomba kazi BOA na upon submission of my CV nlijua fika sitopata ile kazi. I guess yule mmama aliitupa ile bahasha yangu ya khaki. Maswali aliyoniuliza kuhusu dini yangu ni ya ajabu sana maana jina langu linaashiria fika Mimi ni Muslim.

By the way sio hulka yangu kama ulivyosema Bali ni matakwa ya mradi na yana mashiko haswa. All 171 students across 8 classes are Muslims. Watoto watahitaji malezi katika misingi ya kiislam pia. Last month tuliwafanyia interview watu wengi tu tena from hapa hapa JF na waliopata kazi 3 of them are Christians.
 
Ni kweli sio waislam wote wapo hivyo,ila hawa wachache wanawachafua sana,ila mwisho wa siku wakristo na waislamu wote ni watoto wa MUNGU mmoja,na hata kufa wote tunafukiwa ardhini.
Huyo jamaaa yako hajui akisemacho na bahati mbaya anakufanya na wewe usijue ukisemacho
 
Katika nchi yetu toka ipate uhuru sijawahi kusikia kigezo cha udini kikiwa listed wazi wazi kama ulivyo fanya wewe,ila mimi nakupongeza kwa kutokuwa mnafiki wa kuficha hisia na hurka zako za udini.
Hivi umeshawahi kuona matangazo ya kazi ya world vision moja ya masharti yao ni moja ya referees awe church leader, huo nao ni ubaguzi pia
 
Kama shule ni ya kiislamu na inafunda watoto maadili ya dini ya kiislamu mlitaka alete wasio waislamu, nakumbuka ashasema akiwa mwanamke ni advantage goal, mnaweza ona wanawake ambao si waislamu vaa yao ni tofauti pia. So Mimi si muislam lakini miiko ya tamaduni za kidini inatofautiana au haiwezi kuwa sawa na mkaelewana hata siku moja. Sema mumemuelewa mtoa uzi vibaya
 
Thanks kwa ufafanuzi mkuu
 
Tunaapply vipi hyo nafasi
Nmekidhi vigezo

 
Tunaapply vipi hyo nafasi
Nmekidhi vigezo
Umekidhi vigezo mkuu wakati maelezo mafupi tu haya unashindwa kuyaelewa na kuyafuata. Namna ya ku-apply imeainishwa hapa hapa lakini bado unakuja kuuliza tena
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…