Mwaipungu
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 293
- 138
Kwani hili taifa ni la CCM ama Watanzania?
Takribani miaka 50 mambo ni yale yale hakuna mabadiliko, hivi vichwa tulivyopewa na mungu havina akili ama ni ujinga wakulazimisha? Mtawala na mtawaliwa na bosi?
Ukiweza kujibu haya mswali kiufasaha basi ukombozi wako na wangu ndio umefika. Sioni cha kujivunia hata Amani inayosemwa na watawala sikwl mana Watanzania tunavumilia tu mana taifa letu kwanza, lakini ukitaka kujua kua kila kiumbe kinakikomo chake cha uvumilivu basi mwaka huu ndio kitajulikana. Taifa lenye watu makini na wasomi mtakubaliana na mm kua serekali inayo ongoza kwa propaganda ni serekali iliyo shindwa kuangalia mambo kwa upana na ni serekali lege lege. Taifa hili ni taifa gani kama wasomi wetu akili zao zipo kwenye makaratasi? Sisi hatuwezi kua watumwa wa watu wachache naikifika hatua kama hii basi kiukwl nchi yetu ipo kwenye hatari ambayo itazaa ukabila, udini na nakadhalika.
Naomba niulize hivi CCM imesema ilifanya mapinduzi ni mapinduzi gani wasomi nisaidieni mana mm kwa elimu yangu ni kwamba baada Tanganyika kua tayari kujiendesha ndipo alipewa Nyerere kama Prime minister in 1960's nataka kujua hawa CCM wanasema walifanya mapinduzi ni yapi?
Kama vita vya kumuondoa mkoloni vilifanywa na chiefdoms kama Mkwawa, Mtemi Mirambo na vyengine vya Kinjekitile na Abushiri kwa Zanzibar. Kwa mtazamo wangu kama CCM ilifanya mapinduzi basi si Tanzania bali ni nje ya Tanzania. Tuache ushabiki wakijinga. Wagombea wanasema "Tanzania yangu itakua ya viwanda" sasa hapa anatatua matatizo ama anaongeza matatizo?
Mgombea wengine alisema elimu mana ukiwa na elimu basi ww utakua na maarifa yakujenga na kugundua mashine ambazo zitakua zikitumika viwandani bali viwanda bila elimu ni utumwa mamboleo. Amka mtanzania wenzangu! Na kuikosoa serekali yetu ndio kuiongezea maarifa na kufanya akili zao kufanya kazi vizuri lakini kwa sasa naomba tufike mahali tuseme basi inatosha ili tuangalie wapi pana afadhali, acha uwoga na ufanye mabadiliko ya kwl. Mungu hajaweka limit yoyote kwa mwandamu kwa nini wanadamu atuekee limit dhidi ya maisha yetu?
TAFAKARI NA UFANYE MAAMUZI YA KWELI.
Takribani miaka 50 mambo ni yale yale hakuna mabadiliko, hivi vichwa tulivyopewa na mungu havina akili ama ni ujinga wakulazimisha? Mtawala na mtawaliwa na bosi?
Ukiweza kujibu haya mswali kiufasaha basi ukombozi wako na wangu ndio umefika. Sioni cha kujivunia hata Amani inayosemwa na watawala sikwl mana Watanzania tunavumilia tu mana taifa letu kwanza, lakini ukitaka kujua kua kila kiumbe kinakikomo chake cha uvumilivu basi mwaka huu ndio kitajulikana. Taifa lenye watu makini na wasomi mtakubaliana na mm kua serekali inayo ongoza kwa propaganda ni serekali iliyo shindwa kuangalia mambo kwa upana na ni serekali lege lege. Taifa hili ni taifa gani kama wasomi wetu akili zao zipo kwenye makaratasi? Sisi hatuwezi kua watumwa wa watu wachache naikifika hatua kama hii basi kiukwl nchi yetu ipo kwenye hatari ambayo itazaa ukabila, udini na nakadhalika.
Naomba niulize hivi CCM imesema ilifanya mapinduzi ni mapinduzi gani wasomi nisaidieni mana mm kwa elimu yangu ni kwamba baada Tanganyika kua tayari kujiendesha ndipo alipewa Nyerere kama Prime minister in 1960's nataka kujua hawa CCM wanasema walifanya mapinduzi ni yapi?
Kama vita vya kumuondoa mkoloni vilifanywa na chiefdoms kama Mkwawa, Mtemi Mirambo na vyengine vya Kinjekitile na Abushiri kwa Zanzibar. Kwa mtazamo wangu kama CCM ilifanya mapinduzi basi si Tanzania bali ni nje ya Tanzania. Tuache ushabiki wakijinga. Wagombea wanasema "Tanzania yangu itakua ya viwanda" sasa hapa anatatua matatizo ama anaongeza matatizo?
Mgombea wengine alisema elimu mana ukiwa na elimu basi ww utakua na maarifa yakujenga na kugundua mashine ambazo zitakua zikitumika viwandani bali viwanda bila elimu ni utumwa mamboleo. Amka mtanzania wenzangu! Na kuikosoa serekali yetu ndio kuiongezea maarifa na kufanya akili zao kufanya kazi vizuri lakini kwa sasa naomba tufike mahali tuseme basi inatosha ili tuangalie wapi pana afadhali, acha uwoga na ufanye mabadiliko ya kwl. Mungu hajaweka limit yoyote kwa mwandamu kwa nini wanadamu atuekee limit dhidi ya maisha yetu?
TAFAKARI NA UFANYE MAAMUZI YA KWELI.