Sasa kama anadaiwa na utaratibu unamuelekeza kulipa kwanini asilipe au atafute suluhu kwa kuahidi ni lini atalipa, hii ya kusema alisaidia shule ijengwe unadhani kwenye stakabadhi ya fedha za serikali itaandikwa vipi?
Jamani tusiwatwishe wenzetu mizigo mizito kuliko uwezo wao.
Unapoanzisha utaratibu ni vema usiwe na substandard