Kaazi kweli kweli. Ndiyo Tz chini Kikwete wa ccm hii. Hivi waalimu watarajiwa hamjapata kusikia kuwa serikali imefirisika hivyo wanasubiria kukopesheka? Kuweni wapole,SIKU ZOTE MCHUMA JANGA HULA NA WAKWAO,Hongereni kwa kumchagua mzee dhaifu na matunda yake ndiyo haya.