haaa haaa haaa, karibu KIGOMA vijijini tusongeshe,maana huku wateja wetu wanawasubiri kwa sana,
Juzi mwl 1 yamemkuta, amepiga "muayo" mdomo umebaki wazi hadi muda huu wandugu, bado tunaangaika nae hapa, sijui ugonjwa gani. Haya ndo mazingira ya kigoma.