Ajira za Serikali

Duuh pole mkuu nijuavyo mimi kitu kama hiko hakipo na kama kikitokea kwa sababu baasi utakapopatA Mshahara wako wa kwanza itakuradhim kUandika barua kuomba malimbikizo yako ya mshahara ukiambatanisha na benki statement ya akaunt uliyopokelea mshahara....kama sijakosea
 
mm nlikaa miez 6 bila salary so be patient au omba ruhusa uende home mpaka salary itakpo toka,
 
Mdogo wangu alikaa miezi Mitano bila salary wala nini, vumilia dogo
 
Uchaguzi Mkuu ndugu,yale ma T.shirt,makofia,madela na skafu.
 
Uchaguzi Mkuu ndugu,yale ma T.shirt,makofia,madela na skafu.Tunaisoma namba sasa.
 
Wadau naomba,msaada hiv unaweza kuajiriwa na,serikali halafu msilipww mshahara kwa miez 4 na hampew taarifa yoyte kwa nini hamlipwi ila mnaambiwa mkija,anza kulipwa hamtapewa ariers za miez ilopita naomba msaada mana,tunateseka huku

Hakuna kitu kama hicho. Tena siku hizi data sheet za waajiriwa zinawahishwa fasta na baada ya miezi miwili unapata mshahara. Kuhusu arrears zinalipwa kama kawaida. Hao watawala wako wanakudanganya, ila na wewe jiongeze kidogo!
 
Mkuu mi nimeajiriwa Mei mwaka huu nimekujq kupata mshahara mwez wa 9!!
Zile zilizopita nadai kama Malimbikizo!!serikali haina ttz ..shida ni pale Halmashaur unakuta hawajatuma taarifa zako!!au wamekosea kutuma kiusahihi...mimi nlisepa home hadi mshahara ulipotoka ndo nmekuja kazini na ni serikalini!!
 
Me pia mwez wa pili huu hamna kitu,ila kama HR ameingiza detail zako vizur kwenye lawson ujue uzembe upo hazina.
 
Itakua uhamiaji wewe maana nao hawajawalipa maafisa wao wanahaha tu mitaani yaani utawaonea huruma
 
Itakua uhamiaji wewe maana nao hawajawalipa maafisa wao wanahaha tu mitaani yaani utawaonea huruma

Hao wazembe wa kuingiza watu kwenye payrow ndo anawatafuta mtumbua majipu.
 
Siyo UHAMIAJI na wala siifaham hyo uhamiaji ni nin nipo sekta binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…