Unaanza mwezi wa 7 na unaishia mwezi wa 6 mwakani kwahiyo Wazir wa Tamisemi aliposema kwamba wataajiri mwaka ujao wa fedha maana yake hata mwakani mwezi wa 4,5, ama 6 bado upo ndani ya mwaka wa bajeti hivyo mwaka huu hakuna ajira za Tamisemi mpaka mwakani.