Kuna kuitwa kweli kwenye interview au ndiyo tuendelee na mambo yetu kama tokea mwezi wa 4 hujaitwa na sasa hivi ni 11, si bora hiyo system ifutwe tu watu tufanye mambo yetu?
Kuliko kila week au mwezi unaangalia kitu ambacho hakipo kwenye mfumo, ni udanganyifu.
Kuna kuitwa kweli kwenye interview au ndiyo tuendelee na mambo yetu kama tokea mwezi wa 4 hujaitwa na sasa hivi ni 11, si bora hiyo system ifutwe tu watu tufanye mambo yetu? Kuliko kila week au mwezi unaangalia kitu ambacho hakipo kwenye mfumo, ni udanganyifu.
Ila Watanzania inabidi tujue kuwa madudu kwenye nchi hii hayapo HESLB tu,, hatu huko PSRS Nako Kuna madudu na taasisi nyingi za Serikali...So tufanye mambo yetu tu tuwaachie wafaidi wenyewe waloshika mpini
Ila Watanzania inabidi tujue kuwa madudu kwenye nchi hii hayapo HESLB tu,, hatu huko PSRS Nako Kuna madudu na taasisi nyingi za Serikali...So tufanye mambo yetu tu tuwaachie wafaidi wenyewe waloshika mpini
Kuna kuitwa kweli kwenye interview au ndiyo tuendelee na mambo yetu kama tokea mwezi wa 4 hujaitwa na sasa hivi ni 11, si bora hiyo system ifutwe tu watu tufanye mambo yetu? Kuliko kila week au mwezi unaangalia kitu ambacho hakipo kwenye mfumo, ni udanganyifu.