Airtel mna nn lakini? Mbona huduma zenu zipo down sana kiasi mnasababisha usumbufu mkubwa.
Naomba nitoe dukuduku langu na kama kuna muhusika hapa anisaidie Tumefanya muamala ijumaa asubuhi saa 12 (20/12/2019) kutoa pesa airtel kwenda voda ajabu pesa imekwama hewani haijafika kwa mlengwa wa voda na huku airtel wameshakata Pesa. Tukapiga simu wakasema pesa ipo AMBIGO tusubiri saa 72 yaan siku 3.
Tumesubiri kuanzia ijumaa mpaka leo jumatatu pesa haijarudi wala haijaenda Voda. Tukawapigia tena tukajibiwa twende shop ya airtel iliyopo karibu tumekwenda majibu tuliyopewa ni tusubiri saa 24 tena.
HII PESA NI YAKULIPA REJESHO, BANK WANANIONA MSUMBUFU SILIPI KWA WAKATI NA DENI LINAPANDA NAPIGWA FAINI ZA KUCHELEWESHA REJESHO.
Airtel rudisheni hiyo pesa na muwe wawazi kwamba tumia Airtel money for ur own risk
Mkuu embu nielekeze hawa airtel wanatumia mtandao gani, maana nimewapigia tena simu hapa wanasema masaa 48 mengine na ukiwauliza tatizo tangu ijumaa wanasema tuanze kuhesabu kwa siku ya jana. Eti aliyekuhudumia ijumaa ni mwingine na jana ni mwingineUkiwa na Tatizo Tuma E-mail au nenda kwebye social media za mitandao husika toa malalamiko yako hizo za kupiga simu customer care hawana majibu mengine zaidi ya kukwambia subiri masaa 72
Yaan binafsi najuta inabidi nikope pesa sehemu nilipe bank alafu niendelee kuwafwatiliaHawa nyau wanakera ikifika mida ya jioni, ukimpigia mtu simu unaambiwa "network busy" tena hata ukiwapigia wenyewe Airtel unaambiwa hivyo, yaani mpaka simu ikubali kwenda basi unakuwa umetumia nguvu kubwa mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nashangaa hawa watoa huduma za simu hapa nchini,sasa akienda likizo utamsubiri arudi! Kwa kifupi wanachemsha.Mkuu embu nielekeze hawa airtel wanatumia mtandao gani, maana nimewapigia tena simu hapa wanasema masaa 48 mengine na ukiwauliza tatizo tangu ijumaa wanasema tuanze kuhesabu kwa siku ya jana. Eti aliyekuhudumia ijumaa ni mwingine na jana ni mwingine