Musonye mpumbavu sana, huyu jamaa alikasirika sana kipindi kile Yanga walipoamua kuingia mitini! Jamaa alitaka kupasuka kwa hasira. CECAFA, TFF na huyu mkenya wezi wakubwa, wananiboa sana basi tu kwa vile hizi taasisi hatuziangalii kwa macho ya kutuibia lakini kuba haja ya kuchunguzwa namna zinavyoendeshwa.