Afya ya Mbunge wa Ukerewe

kulunalila

Member
Joined
Dec 1, 2011
Posts
43
Reaction score
6
Kwa niaba ya familia Na Kwa niaba ya Mh Mkundi, nakanusha uvumi wote juu yake Na naomba jamii itambue kuwa Mh Joseph Michael Mkundi yu hai na ni mzima wa afya. Ni rai yangu anayevumisha habari yoyote mbaya aache na kuwa familia tunasikitishwa na taarifa hizi zisizo za kweli juu ya ndugu yetu. Mungu ni mwenye nguvu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…