Afisa tarafa

lanesto

Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
10
Reaction score
3
Ninamdogo wangu alifanya usaili Utumishi wa Afisa Tarafa vipi walisha itwa watu kazini?Naomba kujuzwa!
 
Mbona kwenye website yao majina hayo hayapo?Msaada zaidi
 
Ninamdogo wangu alifanya usaili Utumishi wa Afisa Tarafa vipi walisha itwa watu kazini?Naomba kujuzwa!
Bado Mkuu, sijui kuna nini na serikali yetu hii. Toka mda mrefu, sasa hivi unaenda mwezi wa pili toka usaili ule ufanyike ila kimya na wakati wao huwa wanadai inachukua majuma mawili tu mpaka kuitwa kazini.
 
Nami nilihusika ktk usaili ule ilikua tarehe 14 na 18 june na wakasema wataita kazini afta 2 weeks lakin hadi sasa mwezi na nusu hawajaita cjui wanampango gan??
 
Nami nilihusika ktk usaili ule ilikua tarehe 14 na 18 june na wakasema wataita kazini afta 2 weeks lakin hadi sasa mwezi na nusu hawajaita cjui wanampango gan??
vuteni subira watatoa taarifa tu kutakuwa kuna isu wanakamilisha
 
Utumishi hakuna magumashi ndugu zanguni, ombeni kazi na mjiandae kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…