Mtazamo wangu safari hii naona mashindano ya kombe la mataifa ya africa 2013 ladha yake imepungua kabisa,tofaut na ile ya miaka ya nyuma ambapo 2liona ladha saf ya soka toka ha2a za awal had final,sijui kwa vle akna Okocha,
Mboma,Radebe,Diouf hawapo?
Watu ndio wamepunguza msisimko wa ndani.
Sasa hivi kuna akina Yaya Toure,Dean Furman,Rainford Kalaba, Obi Mikel, Msakni Youssef, Belhanda, Mbokani, Essam Jemaa na wengine wengi tu, viwanja vinajitahidi kujaa zaidi ya nusu na mzuka ni mwingi. Watu wenyewe wamejitoa ufahamu wakaamua kushabikia vya Ulaya na kukataa vya kwao.Au wewe ulitaka msisimko gani zaidi? Hilo soka safi sijui mwenzangu uliona wapi, lini Cameroon ilicheza soka safi?
Mtazamo wangu safari hii naona mashindano ya kombe la mataifa ya africa 2013 ladha yake imepungua kabisa,tofaut na ile ya miaka ya nyuma ambapo 2liona ladha saf ya soka toka ha2a za awal had final,sijui kwa vle akna Okocha,
Mboma,Radebe,Diouf hawapo?
Msisimko unakuwepo kama kuna uwezekano wa kuziona mechi kwenye TV zetu. Sasa kama ni mpaka mtu alipie DSTV ya $120 na kuendelea,ili azione hizo mechi na kwa usawa huu mbona balaa
Msisimko unakuwepo kama kuna uwezekano wa kuziona mechi kwenye TV zetu. Sasa kama ni mpaka mtu alipie DSTV ya $120 na kuendelea,ili azione hizo mechi na kwa usawa huu mbona balaa
Nimeshangaa TV ya Taifa haionyeshi mipira hiyo wenzetu Uganda na Kenya wanafaidi tu kama unanasa TV zao utaburudika bure tu.....nilishangaa TBC waliposema wameshindwa kulipa dola laki 3 kuonyesha mechi zote.....
Halafu miaka ya nyuma chaneli zetu za kienyeji zilikuwa zinaonesha free. Lakini hii dijitali nayo imechangia. Wengine hata hawajui kinachoendelea huko sauzi.
Mmmh! hali ni ngumu,na inasikitisha kwa kwel,tofaut na miaka ya nyuma ambapo vjiwe vilshehen stor za kanu,etoo,santos,
olembe,
babangda,
masinga,titi camara,
bakayoko,kuffour,yeboa hosam nk