Shule za kata zina michango michache tu;
Ada _20000, Taaluma_10000, Mlinzi_20000, mpishi_10000, chakula mchana_80000, dawati_50000, afya_10000, michezo_10000, necta F IV_50000, kitambulisho 5000, graduation_20000, ukarabati_10000
Nikikumbuka mingine nitawaandikia! Hii ni baadhi tu...