"Siku zote Kumnyanyasa na kumpotezea Mpenzi wako ni kumfundisha kuishi bila ya wewe. Baadhi ya watu wanafikiri kwamba kuwafanyia hvyo wapenzi wao ni kuwakomoa.
Wasichojua ni kwamba kadiri muda unavyozidi kwenda, ndivyo mtu anazoea maumivu na kukuona wa kawaida.
Kuwe na Ukweli, pale unapomchoka mtu mueleze wazi tu, ni heri maumivu ya mara moja kuliko yale ya kila siku!"
Im done!!
View attachment 1114040