Achana na mambo ya dunia

Joined
Nov 9, 2017
Posts
24
Reaction score
9


yanini kujiona wewe nibora kuliko mwingine,yanini kunyanyasa fukara,yatima,wajane,wagonjwa,walemavu eti kwasababu ya elimu,pesa,uzuri
jamni tunajidanganya na uzr wamiili yetu tanzama tena hiyo picha alafupiga magoti nakutubu dhambi zako maana sisi sikitu mbele za Mungu .
Tumiya ujanawako kumtumikiya mungu achana na anasa za ulimwengi wanawake watakupeleka wapi wanaume watakupeleka wapi pesa yako haitakupa tiketi mbingu Bali uaminifu wako ndiyo silaa ya uzima.

"type Amn"
 
Mkuu ebu ondoa hiyo picha inaogofya sana, na itasababisha tupate ndoto mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…